VYAKULA VYA KUTOKULA MAMA-MJAMZITO KIPINDI CHA UJAUZITO

  • Hii video inaonyesha baadhi ya vyakula ambavyo mama-mjamzito haruhusuwi kula kipindi cha ujauzito. ulaji wa vyakula vilivyotajwa kwenye hii video huweza msababishia mama mjamzito madhara yafuatayo;

1. Mimba kuharibika

2.Kuzaa mtoto mfuu

3. Kuzaa mtoto mwenye magonjwa 

4.Kuzaa mtoto mwenye uzito usioendana na umri

5.Kuzaa mtoto mdogo



WASILIANA NASI KWA UFAHAMU ZAIDI +255757599024-what's app.

No comments

Theme images by compassandcamera. Powered by Blogger.