MAZIWA YA MAMA



Maziwa ya mama ni maziwa yanayotengenezwa na yanayotoka 

katika matiti ya mwanamke kwa ajili ya kumlisha au kama chakula 

kwa mtoto aliyezaliwa, maziwa ya mama ni chakula cha mwanzo 

cha mtoto mchanga kabla hajaweza kula au kutumia aina nyingine 

za vyakula, haya maziwa ya mama yana kila aina ya virutubisho 

vinavyomwezesha mtoto mchanga asiweze kula aina ya chakula 

chochote kile kwa muda wa miezi sita, ukiachana na virutubisho 

vilivyo kwenye maziwa ya mama, maziwa ya mama pia yana kinga 

za mwili ambazo humsaidia mtoto kujikinga na maradhi mbalimbali 

angali akiwa mtoto. 

Pia maziwa ya mama humuepusha mtoto asipatwe na mizilo 

mbalimbali ya vyakula




                            
                            
IMEANDALIWA NA BARAKA EDGAR MLALO AFISA MKUNGA

REFERENCES;

D.C.DUTTA, (2011) Text book of obstetrics, seventh edition, new central book agency (P) ltd, LONDON

GORDON W.GARLAND and ROSEMARY C. PERKES, (1959) a text book for pupil midwives, The English universities press ltd, LONDON.

LINDA K. BROWN and V.RUTH BENNETH,(1999) Myles textbook for midwives, thirteenth edition, Churchill Livingstone, EDINBURGH LONDON




No comments

Theme images by compassandcamera. Powered by Blogger.