MAZIWA YA MAMA
Maziwa
ya mama ni maziwa yanayotengenezwa na yanayotoka
katika matiti ya mwanamke kwa
ajili ya kumlisha au kama chakula
kwa mtoto aliyezaliwa, maziwa ya mama ni
chakula cha mwanzo
cha mtoto mchanga kabla hajaweza kula au kutumia aina nyingine
za vyakula, haya maziwa ya mama yana kila aina ya virutubisho
vinavyomwezesha
mtoto mchanga asiweze kula aina ya chakula
chochote kile kwa muda wa miezi
sita, ukiachana na virutubisho
vilivyo kwenye maziwa ya mama, maziwa ya mama
pia yana kinga
za mwili ambazo humsaidia mtoto kujikinga na maradhi mbalimbali
angali akiwa mtoto.
Pia maziwa ya mama humuepusha mtoto asipatwe na mizilo
mbalimbali ya vyakula
IMEANDALIWA
NA BARAKA EDGAR MLALO AFISA MKUNGA
REFERENCES;
D.C.DUTTA, (2011)
Text book of obstetrics, seventh edition, new central book agency (P) ltd,
LONDON
GORDON
W.GARLAND and ROSEMARY C. PERKES, (1959) a text book for pupil midwives, The English
universities press ltd, LONDON.
LINDA K.
BROWN and V.RUTH BENNETH,(1999) Myles textbook for midwives, thirteenth
edition, Churchill Livingstone, EDINBURGH LONDON
No comments