MIMBA

  • Mimba ni hali ya kubeba kijusi/vijusi vinavyokuwa na kuendelea tumboni mwa mwanamke. Mimba hutokea au hupatikana pale tu yai la kike na mbegu ya mwanaume kukutana na kutengeneza kijusi ambacho hukaa kwenye tumbo la uzazi mpaka pale kitakapotolewa nje ya tumbo la uzazi kama mtoto mchanga, katika kipindi hiki mwanamke hapati damu zake za mwezi kwa muda wa takribani wiki 40 sawa na siku 280.

                    
  • Mwanamke alie na mimba huitwa mama mjamzito au mjamzito, katika kipindi hiki mama mjamzito hupata mabadiliko ya kimwili na kiakili pia, ambayo hujizihilisha kama dalili za ujauzito.
  • Ujauzito umegawanyika katika vipindi vitatu, kipindi cha kwanza kinachoanza wiki 0-12, kipindi cha pili wiki13-28 na kipindi cha tatu wiki 29 hadi kujifungua.
  • Katika kila vipindi vya ujauzito kuna mabadiliko ambayo hutokea kwenye kila kipindi ambayo hayo mabadiliko hutumika kama dalili za ujauzito. 



WASILIANA NASI KWA UFAHAMU ZAIDI +255757599024-what's app.


No comments

Theme images by compassandcamera. Powered by Blogger.