MIMBA
Mimba ni hali ya kubeba kijusi/vijusi vinavyokuwa na kuendelea
tumboni mwa mwanamke.
Mimba hutokea au hupatikana pale tu yai la kike
na mbegu ya
mwanaume kukutana na kutengeneza kijusi ambacho hukaa kwenye
tumbo
la uzazi mpaka pale kitakapotolewa nje ya tumbo la uzazi
kama mtoto mchanga,
katika kipindi hiki mwanamke hapati damu
zake za mwezi kwa muda wa takribani
wiki 40 sawa na siku 280.
Mwanamke alie na mimba huitwa
mama mjamzito au mjamzito,
katika kipindi hiki mama mjamzito hupata mabadiliko
ya kimwili na
kiakili pia.
Ujauzito umegawanyika katika
vipindi vitatu, kipindi cha kwanza
kinachoanza wiki 0-12, kipindi cha pili
wiki13-28 na kipindi cha
tatu wiki 29 hadi kujifungua.
kwenye kila
kipindi ambayo hayo mabadiliko hutumika kama dalili
za ujauzito
IMEANDALIWA NA BARAKA EDGAR MLALO (AFISA MKUNGA)
IMEANDALIWA NA BARAKA EDGAR MLALO (AFISA MKUNGA)
D.C.DUTTA, (2011) Text book of
obstetrics, seventh edition, new central book agency (P) ltd, LONDON
GORDON W.GARLAND and ROSEMARY
C. PERKES,(1959) A text book for pupil midwives, The english universities press ltd, LONDON.
LINDA K. BROWN and V.RUTH
BENNETH,(1999) Myles textbook for midwives, thirteenth edition, churchill
livingstone, EDINBURGH LONDON
BLOOM SPONG, CASEY SHEFFIELD,
CUNNINGHAM LEVENO and DASHE HOFFMAN, (2014) WILLIAMS OBSTETRICS 24 EDITION, Mc
GrawHill Education, UNITED STATES
No comments