DALILI ZA KIFAFA CHA MIMBA

 Kwa mama-mjamzito ni vyema kuzifahamu dalili za kifafa cha 

mimba ili aweze kuchukua hatua za ki-afya pale tu anapohisi hizi 

dalili, kwani kifafa cha mimba kinatibika na kinadhuirika kama 

mama-mjamzito mwenye hizi dalili atagundulika mapema. zifuatazo 

ni dalili za kifafa cha mimba.



  • msukumo wa damu kuwa sawa au zaidi ya 140/90mmHg
  • maumivu ya kichwa hasa kipanda uso
  • kuona maluweluwe
  • kupata maumivu ya tumbo la juu
  • mkojo kuwa na kiasi kingi cha protein
  • kuvimba mwili mzima
  • kutopata mkojo au kupata mkojo kiasi
  • kuongezeka uzito
  • kichefuchefu kilichozidi na kutapika sana
hizo ni viashiria vya kifafa cha mimba, kiashiria kikuu ni shimikizo 

la damu kuwa sawa au zaidi ya 140/90mmHg kwa mama-mjamzito.

No comments

Theme images by compassandcamera. Powered by Blogger.