VYAKULA VYA KUTOKULA MAMA-MJAMZITO KIPINDI CHA UJAUZITO

Hii video inaonyesha baadhi ya vyakula ambavyo mama-mjamzito 

haruhusuwi kula kipindi cha ujauzito. ulaji wa vyakula vilivyotajwa 

kwenye hii video huweza msababishia mama mjamzito madhara 

yafuatayo;

1. mimba kuharibika

2.kuzaa mtoto mfuu

3.kuzaa mtoto mwenye magonjwa 

4.kuzaa mtoto mwenye uzito usioendana na umri

5.kuzaa mtoto mdogo



No comments

Theme images by compassandcamera. Powered by Blogger.